


Na Mwandishi wetu,Mbeya
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu) Bi. Mary Maganga, ametembelea mabanda ya Maonesho ya Wiki ya Vijana Kitaifa, ikiwemo banda la Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu katika maadhimisho ya Wiki ya Vijana Kitaifa 2025 yanayofanyika katika viwanja vya Uhindini jijini Mbeya, leo tarehe 9 Oktoba 2025.
Maadhimisho haya yanaongozwa na kaulimbiu isemayo “Nguvu Kazi ya Vijana kwa Maendeleo Endelevu.”

More Stories
Wanawake jumuia ya kikristo Tanzania CCT wafundana kuelekea siku ya Wanawake Duniani
Dkt.Tulia,Mwalunenge waungana kutatua changamoto ya barabara
TUCASA yaomba kuanzishwa sheria malipo sekta ya ujenzi