Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman akiwa ziarani Nchini Oman, alitoa muhadhara kwenye Sultan Qaboos Higher Centre for Culture and Science, maana yake ikiwa ni Mafungamano yasiyokatika (Enduring Links) kati ya Oman na Zanzibar.
More Stories
Aweso amrejesha Mha.Msenyele kuongaza MWAUWASA
GBT yawataka wachezaji kucheza kwa kiasi
Serikali yaongeza kasi kutatua kero ya maji Mwanza