Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MSANII wa muziki wa Bogo fleva, Whozu usiku wa kuamkia leo amemzawadia mpenzi wake Tunda gari, huku akisindikiza na Caption.”Something light for my Baby Mama. Mama Lolla Cappuccino Tunda”.
Whozu, amemzawadia Tunda gari hiyo ikiwa ni Siku chache zimepita tangu Wapenzi hao kupata Mtoto.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”