NJa Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro pamoja na Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dkt.Francis Michael wakiwa katika matukio tofauti tofauti katika picha kabla ya kuanza kwa Kongamano la Biashara na Uwekezaji lillilofanyika mapema jana Dubai.

Katika Kongamano hilo lililowakutanisha Wafanyabiashara mbalimbali wa kutoka Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu Mgeni rasmi alikuwa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan
More Stories
Fedha za Mfuko wa Jimbo ziingizwe kwenye mfumo wa NeST
Dkt.Biteko awataka wanawake kuwa mabalozi wa nishati safi ya kupikia
Biteko: Afrika tunayapa kipaumbele matumizi Nishati Safi kukabiliana mabadiliko ya Tabia nchi