NJa Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro pamoja na Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dkt.Francis Michael wakiwa katika matukio tofauti tofauti katika picha kabla ya kuanza kwa Kongamano la Biashara na Uwekezaji lillilofanyika mapema jana Dubai.
Katika Kongamano hilo lililowakutanisha Wafanyabiashara mbalimbali wa kutoka Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu Mgeni rasmi alikuwa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan
More Stories
Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu
Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu
Sababu za matukio ya ukatili zatajwa