Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto), akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, baada ya kumaliza mazungumzo yao Jijini Dodoma, ambapo Rais huyu wa AfDB yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku 3 kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
More Stories
Gambo: Rais Samia amefanya makubwa Jimbo Arusha Mjini
Samia ajitosa madai yawalimu wasio na ajira
Kikwete kufuatilia mchakato ujenzi wa barabara Mbalizi-Makongolosi