Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto), akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, baada ya kumaliza mazungumzo yao Jijini Dodoma, ambapo Rais huyu wa AfDB yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku 3 kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
More Stories
Vyombo vya ulinzi na usalama Mbeya,Benki kuu kushirikiana kutatua changamoto za utapeli mtandaoni
Polisi Mbeya kuimarisha ulinzi kuelekea sikukuu ya Pasaka
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an