Waziri wa Fedha na Mipango Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (kushoto), akiwa na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB), Dkt. Akinwumi Adesina, baada ya kumaliza mazungumzo yao Jijini Dodoma, ambapo Rais huyu wa AfDB yuko nchini kwa ziara ya kikazi ya siku 3 kwa mwaliko wa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan.
More Stories
Serikali yawezesha miradi 80 kwa utaratibu wa PPP
Mpogolo akabidhi Cheti kwa wahitimu
Gavu asisitiza kuimarisha ushirikiano Tanzania na China