Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online


Aidha Mhe. Makamba aliwaelimisha wanakikundi hao madhara ya kiafya na kimazingira ya muda mrefu ya kutumia kuni na mkaa. Kwa Mkoa wa Mara, watu kati ya 400- 600 kwa mwaka huugua kutokana na athari za Moshi wa kuni na mkaa. Mhe Makamba amewaahidi wana kikundi hao kufunga mfumo wa gesi ya kupikia ili wafanye shughuli hizo kwa kutumia nishati safi.
More Stories
Ussi awataka wananchi Handeni kulinda miundombinu ya maji
Wapambe waanza rafu za uchaguzi Morogoro Mjini
Daraja la J.P.Magufuli kuzinduliwa Juni 19,2025