Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online


Aidha Mhe. Makamba aliwaelimisha wanakikundi hao madhara ya kiafya na kimazingira ya muda mrefu ya kutumia kuni na mkaa. Kwa Mkoa wa Mara, watu kati ya 400- 600 kwa mwaka huugua kutokana na athari za Moshi wa kuni na mkaa. Mhe Makamba amewaahidi wana kikundi hao kufunga mfumo wa gesi ya kupikia ili wafanye shughuli hizo kwa kutumia nishati safi.

More Stories
Madarasa 72 mapya kujengwa Ilemela
TAMWA yakumbusha jamii kupinga ukatili wa kijinsia kuelekea siku ya wanawake Duniani
Wanawake washauriwa kuchangamkia fursa za uchumi