WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) William Lukuvi amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Mhashamu Josephat Jackson Bududu.
Ibada hiyo imefanyika leo Mei 25, 2025 katika Kanisa Kuu la Mt. Theresia, Tabora.











More Stories
Magambo:Tanzania inaweza kushindina kimataifa bidhaa za ngozi
TASHICO,LMC waingia makubaliano usafirishaji majini
Wataalamu wa Maendeleo kukutana Mwanza kwa siku tatu