WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) William Lukuvi amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Mhashamu Josephat Jackson Bududu.
Ibada hiyo imefanyika leo Mei 25, 2025 katika Kanisa Kuu la Mt. Theresia, Tabora.










More Stories
Dkt.Biteko:Wazazi msiwahusishe watoto kwenye migogoro yenu
Thabo Mbeki aipongeza Tanzania kuandaa mhadhara wa UNISA mara tatu mfululizo
Thabo Mbeki:Bado Afrika inauhaba wa viongozi wenye kutekeleza sera nzuri