WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) William Lukuvi amemwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ibada ya kuwekwa wakfu Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Tabora, Mhashamu Josephat Jackson Bududu.
Ibada hiyo imefanyika leo Mei 25, 2025 katika Kanisa Kuu la Mt. Theresia, Tabora.










More Stories
Airtel Tanzania yaungana na Infinix kuzindua NOTE 50 Pro+
Jiji la Dar-es-Salaam latenga bilioni 18 za mkopo wa asilimia 10
Yas yatoa msaada wa vifaa Hospitali ya Bombo Tanga