Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki na viongozi mbalimbali leo wametembelea eneo lijulikanalo kama “Animal Kingdom” ikiwa ni Bustani ya wanyama hai kwenye Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Saba Saba yanayoendelea Dar es Salaam pamoja na kujionea vivutio vingine.
More Stories
Nchimbi kuanza ziara ya siku saba kesho
282,wafanikiwa kujiunga na mfumo rasmi wa elimu
Diwani Cheka awataka waumini wa Anglikana kuendeleza Amani