Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki na viongozi mbalimbali leo wametembelea eneo lijulikanalo kama “Animal Kingdom” ikiwa ni Bustani ya wanyama hai kwenye Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Saba Saba yanayoendelea Dar es Salaam pamoja na kujionea vivutio vingine.
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/IMG-20240704-WA0390-1024x682.jpg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/IMG-20240704-WA0393-1024x682.jpg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/IMG-20240704-WA0391-1024x780.jpg)
![](https://timesmajira.co.tz/wp-content/uploads/2024/07/IMG-20240704-WA0392-1024x682.jpg)
More Stories
RC Chongolo awataka bodaboda kutotumika kwa uhalifu,awafadhili 26 mafunzo ya leseni
Benki ya NMB yahudhuria Mkutano wa CSSC
Upungufu wa viti,meza vyamnyima usingizi Diwani