Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha
More Stories
Serikali kuendelea na utoaji mafunzo ya Mtaala ulioboreshwa kwa walimu wote
Airtel yatinga Kimataifa yazindua kadi ya malipo Kidigitali “Airtel Money Global Pay’
Kiongozi wa Mwenge aifagilia RUWASA Tanga