Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha
More Stories
Mwanza wahimizwa kutumia bidhaa zinazozalishwa na kampuni za kizawa
BAKWATA yashauriwa kuandaa mkakati kupata walimu wa madrasa
TEA yatenga bil.3 kufanikisha utekelezaji mtaala mpya wa elimu