

WATUMISHI 80 wa Chuo cha Maji watembelea hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro Kwa namna ya pekee Chuo cha Maji tunamshukuru Waziri wetu wa Maji kwani ametuondolea unyonge Chuo cha Maji leo hii tumeweza kutembelea hifadhi ya taifa ya Ngorongoro.
Asante Waziri wetu wa Mhe. Jumaa H. Aweso Unforgetable one katika Chuo cha Maji. Asante Dr. Adam Karia Mkuu wa Chuo kwa kusimamia vyema maono ya Jemedari Aweso.

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Usajili wa Laini za Simu: Jilinde Dhidi ya Kutumiwa Vibaya kwa Utambulisho Wako