Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara)Stephen Wasira amefanya mazungumzo na Mhe. Eunju Ahn, Balozi wa Jamhuri wa Korea Nchini, Leo tarehe 18/2/2025 katika Ofisi  ndogo ya  makao makuu ya CCM Lumumba, Dar es Salaam.Â
Katika mazungumzo hayo, viongozi hao wamebadilishana mawazo katika namna mbalimbali yanayohusu ushirikiano wa nchi ya Tanzania na Korea.


More Stories
Mbunge Mavunde akabidhu mradi wa Shamba kwa wanawake wafanyabiashara wadogo Dodoma
Wasira aihakikishia Marekani uchaguzi nchini kuwa wa huru na haki
Benki ya Exim yazindua suluhisho la malipo ya kisasa kwenye Z- Summit 2025