Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Wabunge Mbalimbali wakati wakijadili Bajeti ya Wizara ya Nishati Leo Bungeni wameitaka Serikali Kuongeza Mkataba wa Kampuni ya kuzalisha Umeme ya SONGAS.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Elibariki Kingu amesema Kampuni hiyo inapaswa kuongezewa mkataba kwa sababu inafanya kazi nzuri ya Kuzalisha Umeme wa Uhakika na kulipunguzia Mzigo Shirika la Umeme Nchini TANESCO huku akisisitiza SONGAS ni mfano bora wa matokeo ya ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, yaani PPP.
More Stories
Wakuu wa nchi wa EAC,SADC watoa maazimio kumaliza mgogoro wa Congo
Wanafunzi wawili waliodaiwa kutekwa wapatikana,watuhumiwa wauwawaÂ
Watumishi Madini waaswa kufanya kazi kwa bidii, kuwa wazalendo