Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Wabunge Mbalimbali wakati wakijadili Bajeti ya Wizara ya Nishati Leo Bungeni wameitaka Serikali Kuongeza Mkataba wa Kampuni ya kuzalisha Umeme ya SONGAS.
Mbunge wa Jimbo la Singida Magharibi Elibariki Kingu amesema Kampuni hiyo inapaswa kuongezewa mkataba kwa sababu inafanya kazi nzuri ya Kuzalisha Umeme wa Uhakika na kulipunguzia Mzigo Shirika la Umeme Nchini TANESCO huku akisisitiza SONGAS ni mfano bora wa matokeo ya ushirikiano kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi, yaani PPP.
More Stories
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni
Prof.Muhongo amshukuru Rais Samia kwa fedha nyingi miradi ya elimu Musoma Vijijini
Rc Chalamila aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Charles Hilary