Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la TUDARCo katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi kwenye wodi ya akinamama walipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vifaa tiba kwa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina Mama hospitalini hapo Picha na Erika Kyomo TUDARCo Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB),Saddy Kambona wa kwanza kulia akizungumza na wanafunzi kutoka chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam juu ya umuhimu wa kilimo cha zao la mkonge katika kukuza pato la Taifa walipo tembelea Ofisi ya bodi ya mkonge Jijini Tanga.Picha na Mary Arthur, TUDARCo. Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la TUDARCo katika picha ya pamoja baada ya kutembelea hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vifaa tiba kwa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina Mama hospitalini hapo.Picha Na.William Bukholi, TUDARCo Kaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB),Saddy Kambona akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi kutoka chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam walipo tembelea Ofisi ya bodi ya mkonge Jijini Tanga kujifunza juu ya umuhimu wa zao la mkonge katika uchumi wa Nchi.Picha na Rhoda Kivugo TUDARCo Post Views: 375 Continue Reading Previous Tamasha la Hip Hop Asili 2022 kuwakutanisha wasanii wa ndani na nje ya nchiNext Elimu ya umuhimu wa chanjo ya uviko-19 ilivyosaidi watu kujitokeza kuchanja More Stories 2 min read Habari TPA yatekeleza agizo la Samia korosho kupitia Bandari Mtwara April 20, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari Mvutano vyama vya wafanyakazi kikwazo vikao baraza la wafanyakazi Wizara ya ardhi April 20, 2024 Jackline Mkota 3 min read Habari NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika jijini Arusha April 20, 2024 Jackline Mkota
More Stories
TPA yatekeleza agizo la Samia korosho kupitia Bandari Mtwara
Mvutano vyama vya wafanyakazi kikwazo vikao baraza la wafanyakazi Wizara ya ardhi
NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika jijini Arusha