Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la TUDARCo katika picha ya pamoja na baadhi ya wauguzi kwenye wodi ya akinamama walipotembelea hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vifaa tiba kwa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina Mama hospitalini hapo Picha na Erika Kyomo TUDARCoKaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB),Saddy Kambona wa kwanza kulia akizungumza na wanafunzi kutoka chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam juu ya umuhimu wa kilimo cha zao la mkonge katika kukuza pato la Taifa walipo tembelea Ofisi ya bodi ya mkonge Jijini Tanga. Picha na Mary Arthur, TUDARCo.Vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Tawi la TUDARCo katika picha ya pamoja baada ya kutembelea hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala iliyopo Jijini Dar es salaam na kutoa msaada wa vifaa tiba kwa wagonjwa waliolazwa katika wodi ya kina Mama hospitalini hapo. Picha Na.William Bukholi, TUDARCoKaimu Mkurugenzi wa Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB),Saddy Kambona akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi kutoka chuo kikuu kishiriki cha Tumaini Dar es Salaam walipo tembelea Ofisi ya bodi ya mkonge Jijini Tanga kujifunza juu ya umuhimu wa zao la mkonge katika uchumi wa Nchi. Picha na Rhoda Kivugo TUDARCo
More Stories
Kituo cha afya Kisiwa cha Rukuba chafungiwa umeme jua kurahisisha huduma
Kapinga:Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati
Rungwe yajenga soko kukuza uchumi kwa wananchi