Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
USHINDI wa juzi walioupata klabu ya Yanga dhidi ya watani wao wa jadi Simba, umemfurahisha msanii wa filamu hapa nchini mwenye mvuto wa aina yake Irene Uwoya.
Katika mchezo huo wa Ligi Kuu Tanzania uliochezwa juzi kwenye Uwanja Mkapa jijini Dar es Salaam, Yanga waliibuka na ushindi wa goli 1-0, lililofungwa na kiungo Zawadi Mawia.
Akiongea kwa furaha kupitia kwenye UKurasa wake wa Instagram Uwoya amesema, hajawahi kujuta hata siku moja kuipenda Yanga kwani huwa inampa faraja isiyo kifani.
“Sijawahi kujuta na sitakaaa nijute kuipenda yanga.Mmejua kunipa raha, sasa mashabiki wadamu wayanga leo nitaokutana nao mtafurahi,” amesema Uwoya.
More Stories
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030
Mwanamitindo Millen Magese apewa kibali kuandaa Miss Universe Tanzania 2025
Pacha Milionea waja na truck mpya “Nyumbani”