Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kwa kuendelea kuwajali na kuwathamini Watanzania, Benki ya NMB ikishirikiana na makampuni ya Bima, inatoa huduma ya bima ya gari au chombo cha moto kwa lengo la kutoa kinga dhidi ya hasara itokanayo na ajali, wizi, uharibifu na majeraha ya mwili/ kifo kwa mtu mwingine.
Ukikata bima na NMB, wamerahisisha njia ya kutoa taarifa ya ajali, huku wakihakikisha wanafuatilia na kukupa maendeleo ya madai yako ili uyapate kwa muda mfupi sana.
Unachohitaji ni;
· Nakala ya kadi ya chombo na kitambulisho halali
· Picha za chombo kwa wakati huo
· Thamani ya chombo
Tembelea tawi lolote la NMB karibu yako ukate bima ya gari sasa!
More Stories
YAS yatoa Elimu ya mtandao Karibu Kill Fair ,yajipanga kuinua sekta ya utalii
Puma Energy Yazindua Mradi wa Umeme wa Jua kwa Kiwanda cha Alliance One
Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti 2025