Na Heri Shaaban, Timesmajira Online
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania(TMA) imesema hali ya hewa kwa saa 24 zijazo baadhi ya mikoa inatazamiwa kuwa na vipindi vya upepo mkali.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na TMA vipindi vya upepo mkali vinatazamiwa katika maeneo ya mikoa ya Pwani ya Bahari ya Hindi,Lindi,Mtwara, Tanga,Dar es Salaam ikijumuisha Visiwa vya Mafia,Unguja na Pemba .
Aidha kwa mujibu wa TMA tahadhari nyingine ya vipindi vya upepo mkali imetolea kwa mikoa ya Ukanda wa Ziwa Nyasa ,Mikoa ya Njombe ,Ruvuma na Mbeya pamoja na mikoa ya Ukanda wa Kusini mwa mikoa ya ziwa Tanganyika, Mikoa ya Katavi na Rukwa.
More Stories
Dkt.Jingu ahimiza matumizi ya TEHAMA katika malezi
Bil.64.5 zimetengwa kwajili ya kupanga,kupima na kumilikisha ardhi halmashauri 131 nchini
LATCU Katavi yasaidia mahitaji ya Mil.5.7 kituo cha watoto yatima,mahabusu