Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Tigo leo imefunga safari kumfuata mshindi wa droo kubwa Tigopesa Mwaa Mwii aliyejishindia Sh Mil 25.
Ukiwa na Tigo ushindi nje nje kwa kufanya miamala tu ameweza kushinda Pesa.

Ikumbukwe pia katika promosheni Pesa Mwaa Mwii Na TigoPesa kulikuwa na Wateja 20 kila wiki waliojishindia Mil 2 kila mmoja kwa wiki 5 mfululizo.
Vile vile kulikuwa na Wateja 10 waliojishindia Mil 10 kila mmoja kutoka maeneno yofauti tofauti.

Furahia maisha ya kidigitali kwa kufanya miamala kama Lipa Kwa simu, Lipa Bili, Malipo ya serikali nk Piga *150*01# au tumia Tigo Pesa App.
More Stories
Exim yatangaza mafanikio makubwa na mwelekeo madhubuti 2025
Benki ya Exim yakabidhi madarasa kwa shule mbili za sekondari Kigoma
Mwenendo Soko la Hisa, wengi wavutiwa kuwekeza katika Bondi