Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) leo tarehe 22 Julai 2023 kimezindua Jukwaa la Majadiliano ya Vyama vya Siasa Wilaya ya Kigoma Mjini kwa minajili ya kukuza, kuimarisha na kudumisha Demokrasia ya siasa ya vyama vingi.

Mradi huu wa kuunda majukwaa ya majadiliano umefadhiliwa na Ubalozi wa Marekani nchini.

Vyama vilivyoshiriki ni pamoja na CCM, CHADEMA, ACT-WAZALENDO, NCCR – Mageuzi pamoja na CUF.

More Stories
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150
TISEZA Songea kuvutia uwekezaji, ajira zaidi zapatikana