Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Shirika la Umeme Tanzania Tanesco imewakumbusha wateja wake katika msimu wa sikukuu kwa kupikabkwa kutumia umeme wa nishati safi na salama
Imesema kutumia umeme huo unaokoa muda jikoni,utalinda afya ya mtumiaji na ni kwa gharama nafuu.
Vyakula vyote vya sikukuu vinaweza kupikwa kwa chini ya unit 1 tu ya umeme ambayo ni sawa na shilingi 356 tu!

More Stories
Chatanda ahamasisha utekelezaji wa Ilani ya CCM 2025–2030
Mikopo asilimia 10 yainua wanawake Tunduma kibiashara
UDSM yabuni bidhaa kwa nazao ya nyuki