Klabu ya Simba SC, leo imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo.
Oliveira, mwenye umri wa miaka 69, raia wa Brazil, amejiunga na klabu hiyo baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Post Views: 694
More Stories
Wananchi waaswa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura
Nchi 28 Afrika zajadili mikakati kukabiliana na dawa,chanjo feki
Tamasha ya Chifu Hangaya tamaduni kufanyika Machi 8,2025