Klabu ya Simba SC, leo imemtangaza rasmi kocha wake mpya, Roberto Oliveira kama kocha mkuu mpya wa klabu hiyo.
Oliveira, mwenye umri wa miaka 69, raia wa Brazil, amejiunga na klabu hiyo baada ya kuachana na waajiri wake wa zamani Vipers SC ya Uganda.
Post Views: 718
More Stories
Madiwani Ilala walia na dampo la Pugu
TLS yaishauri serikali kuanzisha chombo maalumu
Ridhiwani ataka watu wenye ulemavu wapewe fursa