Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
282,wafanikiwa kujiunga na mfumo rasmi wa elimu
Diwani Cheka awataka waumini wa Anglikana kuendeleza Amani
Serikali ya Mtaa Kalume wachanga Mil. 1 fomu ya Rais Samia