Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
TRA yabaini ukwepaji kodi mkubwa viwandani
Dkt.Samia ahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha
CCM kufanya mkutano mkuu maalumu Mei 29-30,2025