Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
BAKWATA yawazawadia washindi wakuhifadhi Qur’an
Chalamila:Dar ni salama,aelezea mafanikio na mipango ya maendeleo ya Mkoa
Ulaji vyakula vya aina moja,umri vyatajwa ongozeko la matatizo ya macho Mbeya