Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
Mch.Hananja awataka viongozi wa dini kuacha kutumia majukwaa ya kidini kwa kujitafutia umaarufu
Matiko atangaza nia ya kugombea Ubunge Kivule
TPTC kuendesha kozi ya Walinda Amani wa Kirai