Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
Kituo cha mfano Katente chaongeza makusanyo MBOGWE
Elimu ya fedha yawafikia wananchi wa Makanya wilayani Same
Wasira:Uchaguzi Mkuu utafanyika wanaCCM,Wananchi jiandaeni