Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanmia Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Rais Msataafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa alipofika nyumbani kwa Marehemu Masaki Jijini Dar er salaam leo Julai 25, 2020 kwa ajili ya kuifariji Familia ya Marehemu.
More Stories
Lulida ataka viwanda vilivyofungwa vifufuliweÂ
Wizata ya Viwanda yapongezezwa kasi mageuzi kiuchumi
Bajeti ya Trilioni 2.4 uboreshaji Elimu yapitishwa Bungeni