Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanmia Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Rais Msataafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa alipofika nyumbani kwa Marehemu Masaki Jijini Dar er salaam leo Julai 25, 2020 kwa ajili ya kuifariji Familia ya Marehemu.
More Stories
Mgao wa tenda wa 30% kwa makundi Maalum ,wamkosha Rais Samia
Biteko ateta na Mtendaji Mkuu wa Rashal Energies, inayojenga Bomba la Gesi Kisemvule – Mbagala
Utafiti na Teknolojia matibabu ya magonjwa adimu wasisitizwa