Na Mwandishi wetu,Timesmajira Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Israel Johaness Salufu amechukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Jimbo la Kilolo mkoani Iringa. Salufu amechukua fomu hiyo leo tarehe 28 Juni 2025 katika Ofisi za CCM wilaya ya Kilolo. Post Views: 376 Continue Reading Previous Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. KimeiNext Dkt.Angeline, Manguzo wachukua fomu za kuwania Ubunge Ilemela More Stories Habari Mradi wa maji wanufaisha wakazi 22,000 July 16, 2026 Judith Ferdnand Habari Shule 10 kunufaika na mpango wa kuboresha ufaulu July 16, 2026 Judith Ferdnand Habari Future World,Chanika Veteran hakuna mbabe mechi ya Kirafiki July 16, 2026 Penina Malundo
More Stories
Mradi wa maji wanufaisha wakazi 22,000
Shule 10 kunufaika na mpango wa kuboresha ufaulu
Future World,Chanika Veteran hakuna mbabe mechi ya Kirafiki