Na Mwandishi wetu,Timesmajira Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Israel Johaness Salufu amechukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Jimbo la Kilolo mkoani Iringa. Salufu amechukua fomu hiyo leo tarehe 28 Juni 2025 katika Ofisi za CCM wilaya ya Kilolo. Post Views: 380 Continue Reading Previous Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. KimeiNext Dkt.Angeline, Manguzo wachukua fomu za kuwania Ubunge Ilemela More Stories Habari Serikali yaagiza usalama migodini Lindi August 5, 2026 Penina Malundo Habari Awamu ya kwanza ya uvutaji wa nyaya katika Mradi wa Chalinze -Dodoma wakamilika August 5, 2026 Penina Malundo Habari EWURA yatangaza bei ya mafuta August 5, 2026 Judith Ferdnand
More Stories
Serikali yaagiza usalama migodini Lindi
Awamu ya kwanza ya uvutaji wa nyaya katika Mradi wa Chalinze -Dodoma wakamilika
EWURA yatangaza bei ya mafuta