Na Mwandishi wetu,Timesmajira Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Israel Johaness Salufu amechukua fomu kuwania nafasi ya Ubunge kwa tiketi ya CCM katika Jimbo la Kilolo mkoani Iringa. Salufu amechukua fomu hiyo leo tarehe 28 Juni 2025 katika Ofisi za CCM wilaya ya Kilolo. Post Views: 386 Continue Reading Previous Aliyeongoza kura maoni Vunjo 2020, kumkabili tena Dkt. KimeiNext Dkt.Angeline, Manguzo wachukua fomu za kuwania Ubunge Ilemela More Stories Habari Mzizima Derby, vita ya alama, heshima na ubabe leo September 16, 2026 Moses Ngwat Habari Mradi wa Umeme Simiyu wafungua fursa, wachochea Uchumi September 16, 2026 Penina Malundo Habari Kitaifa FCC yapongezwa kulinda walaji, kuchochea biashara September 16, 2026 joyce kasiki
More Stories
Mzizima Derby, vita ya alama, heshima na ubabe leo
Mradi wa Umeme Simiyu wafungua fursa, wachochea Uchumi
FCC yapongezwa kulinda walaji, kuchochea biashara