Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Abdulmajid Nsekela pamoja na viongozi wengine Wakuu wa CRDB pamoja na Serikali akivuta kitambaa kuashiria ufunguzi wa Jengo la Makao Makuu ya Benki hiyo yaliyopo Palm Beach, Mkabala na Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Jijini Dar es Salaam leo tarehe 05 March 2022. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na viongozi wengine Wakuu wa CRDB pamoja na Serikali akiminya kitufe kuashiria ufunguzi wa Jengo la Makao Makuu ya Benki ya CRDB lililopo Palm Beach, Mkabala na Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akiwa pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Benki ya CRDB pamoja na viongozi wengine wa Serikali katika ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Benki ya CRDB yaliyopo pembezoni mwa Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na Wafanyakazi wa CRDB mara baada ya kuzindua jengo la Makao Makuu ya Benki ya CRDB yaliyopo pembezoni mwa Barabara ya Ali Hassan Mwinyi Jijini Dar es Salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu akiagana na viongozi mbalimbali wa Benki ya CRDB mara baada ya kuzungumza nao katika viwanja vya Agha Khan Jijini Dar es Salaam. Post Views: 643 Continue Reading Previous Rais Samia: Uwepo wa sekta ya kibenki iliyo imara nchini huchangia kupunguza tatizo la ajiraNext NSSF yasaidia vifaa tibaHospitali ya Mnazi Mmoja Zanzibar More Stories 2 min read Habari Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24 May 3, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika May 3, 2024 Penina Malundo 2 min read Habari Kitaifa DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT May 3, 2024 joyce kasiki
More Stories
Madaktari 1,109 kunufaika na ufadhili wa Rais Samia katika masomo ya ubingwa bobezi 2023/24
Kimbunga “HIDAYA”chazidi kuimarika
DC aeleza umuhimu wa mafunzo ya JKT