Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Dodoma alipokua akitokea Zanzibar alikohudhuria Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba leo tarehe 12 Januari 2022.
PICHA NA IKULU
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi