Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika mazungumzo na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Airtel Afrika Olusegun Ogunsanya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Airtel Afrika Mashariki Ian Ferrao leo tarehe 27 Februari, 2022, Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu UAE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Airtel Afrika Olusegun Ogunsanya pamoja na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Airtel Afrika Mashariki Ian Ferrao mara baada ya mazungumzo na viongozi hao wa Kampuni ya Airtel Afrika leo tarehe 27 Februari, 2022 Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu UAE Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Airtel Afrika Olusegun Ogunsanya na Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Airtel Afrika Mashariki Ian Ferrao pamoja na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Kampuni ya Airtel Tanzania Beatrice Singano mara baada ya mazungumzo na viongozi hao wa Kampuni ya Airtel Afrika leo tarehe 27 Februari, 2022 Dubai, Umoja wa Falme za Kiarabu UAE Post Views: 499 Continue Reading Previous Upanga Mashariki wazindua kampeni kupambana na Uviko – 19Next Rais Samia mgeni rasmi Maridhiano Day More Stories Habari Waadhimisha miaka 48 ya CCM kwa kupanda miti 245 February 2, 2025 Judith Ferdnand Habari Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu February 1, 2025 zena chitwanga Habari Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu February 1, 2025 Judith Ferdnand
More Stories
Waadhimisha miaka 48 ya CCM kwa kupanda miti 245
Rais Samia azitaka Wizara husika kusimamia sera ya elimu
Serikali yaboresha sekta ya elimu Ulyankulu