Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kesho Ijumaa atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Mkutano huo utafanyika katika uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa Covid-19 wakati wa tukio hilo.
More Stories
Waislamu Mwanza wapokea Ramadhani kwa maandamano ya kidini
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo
TRA Tanga yakusanya bil.178.3 kwa miezi sita