Na Mwandishi Wetu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, kesho Ijumaa atakuwa mgeni rasmi katika Mkutano Mkuu wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT).
Mkutano huo utafanyika katika uwanja wa Jamhuri, jijini Dodoma huku watu wote wakitakiwa kuzingatia na kuchukua tahadhari zote za kujikinga na ugonjwa wa Covid-19 wakati wa tukio hilo.
More Stories
Kiongozi wa Mwenge apongeza wananchi kupelekewa huduma ya maji Handeni
TFS yawakaribisha wawekezaji katika vivutio vya utalii wa misitu
Waziri Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka