Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 01 Agosti, 2021 amefanya uteuzi wa Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri za Jiji, Manispaa,Miji na Wilaya kama ifuatavyo:
- MKOA WA ARUSHA
| Dkt. John Kurwa Marco Pima | Jiji la Arusha | |
| Zainab Juma Makwinya | Wilaya ya Meru | |
| Seleman Hamis Msumi | Wilaya ya Arusha | |
| Juma Mohamed Mhina | Wilaya ya Ngorongoro | |
| Stephen Anderson | Wilaya ya Longido | |
| Raphael John Siumbu | Wilaya ya Monduli | |
| Karia Rajabu | Wilaya ya Karatu |
2. MKOA WA DAR ES SALAAM
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Elasto Nehemia Kiwale | Manispaa ya Kigamboni | |
| Beatrice Rest Dominuo Kwai | Manispaa ya Ubungo | |
| Jumanne Kiango Shauri | Jiji la Ilala | |
| Hanifa Suleiman Hamza | Manispaa ya Kinondoni | |
| Elihuruma Mabelya | Manispaa ya Temeke |
3. MKOA WA DODOMA
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Yusuph Mustafa Semwaiko | Wilaya ya Kondoa | |
| Paul Mamba Sweya | Mji wa Kondoa | |
| Siwema Hamoud Juma | Wilaya ya Chemba | |
| Athumani Hamisi Masasi | Wilaya ya Bahi | |
| Dkt. Semistatusa Hussein Mashimba | Wilaya ya Chamwino | |
| Dkt. Omary Athumani Nkulo | Wilaya ya Kongwa | |
| Mwanahamisi Haidari Ally | Wilaya ya Mpwapwa | |
| Joseph Constantine Mafuru | Jiji la Dodoma |
4.
MKOA WA GEITA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Lutengano George Mwaliba | Wilaya ya Bukombe | |
| Saada Seleman Mwaruka | Wilaya ya Mbogwe | |
| Mandia H. M. Kihiyo | Wilaya ya Chato | |
| Husna Toni Chambo | Wilaya ya Nyang’hwale | |
| John Paul Wanga | Wilaya ya Geita | |
| Zainab Muhidini Michuzi | Wilaya ya Mji Wa Geita |
5. MKOA WA IRINGA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Bernard Maurice Limbe | Manispaa ya Iringa | |
| Bashir Paul Mhoja | Wilaya ya Iringa | |
| Happiness Raphael Laizer | Mji wa Mafinga | |
| Lain Ephrahim Kamendu | Wilaya ya Kilolo Tangu | |
| Zaina Mfaume Mlawa | Wilaya ya Mufindi |
6. MKOA WA KAGERA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Innocent Mbandwa Mukandala | Wilaya ya Biharamulo | |
| Hamid Hamed Njovu | Manispaa ya Bukoba | |
| Fatina Hussein Laay | Wilaya ya Bukoba | |
| Elias Mahwago Kayandabila | Wilaya ya Muleba | |
| Waziri Khachi Kombo | Wilaya ya Missenyi | |
| Solomon Obeid Kimilike | Wilaya ya Ngara | |
| Michael Francis Nzyungu | Wilaya ya Karagwe | |
| Sacf. James Marco John | Wilaya ya Kyerwa |
7. MKOA WA KATAVI:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Sophia Juma Kambuli | Manispaa ya Mpanda | |
| Mohamed Ramadhani Ntandu | Wilaya ya Msimbo | |
| Catherine Michael Mashalla | Wilaya ya Mpimbwe | |
| Teresia Aloyce Irafay | Wilaya ya Mlele | |
| Shaban Juma Juma | Wilaya ya Tanganyika |
8. MKOA WA KIGOMA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Joseph Kashushura Rwiza | Wilaya ya Kasulu | |
| Dollar Rajab Kusenge | Mji wa Kasulu | |
| Ndaki Stephano Mhuli | Wilaya ya Kakonko | |
| Rose Robert Manumba | Wilaya ya Kigoma | |
| Deocles Rutema Murushwagire | Wilaya ya Kibondo | |
| Zainab Suleiman Mbunda | Wilaya ya Uvinza | |
| Essau Hosiana Ngoloka | Wilaya ya Buhigwe | |
| Athmani Francis Msabila | Wilaya ya Kigoma Ujiji |
9. MKOA WA KILIMANJARO:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Kastori George Msigala | Wilaya ya Moshi | |
| Godwin Justin Chacha | Wilaya ya Rombo | |
| Annastazia Tutuba Buhamvya | Wilaya ya Same | |
| Upendo Erick Mangali | Wilaya ya Siha | |
| Dionis Maternsus Myinga | Wilaya ya Hai | |
| Mwajuma Abbas Nasombe | Wilaya ya Mwanga | |
| Dr. Rashid Karim Gembe | Manispaa ya Moshi |
10. MKOA WA LINDI:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| George Mbilinyi | Wilaya ya Mtama | |
| Juma Ally Mnwele | Manispaa ya Lindi | |
| Eston Paul Ngilangwa | Wilaya ya Kilwa | |
| Tina Emelye Sekambo | Wilaya ya Liwale | |
| Eng. Chionda Ally Mfaume | Wilaya ya Nachingwea | |
| Frank Fabian Chonya | Wilaya ya Ruangwa |
11. MKOA WA MANYARA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Samweli Warioba Gunza | Wilaya ya Simanjiro | |
| John John Nchimbi | Wilaya ya Kiteto | |
| Anna Philip Mbogo | Wilaya ya Babat | |
| Yered Edson Myenzi | Mji wa Mbulu | |
| Jenifa Christian Omolo | Wilaya ya Hanang’ | |
| Dr. Zuweina Kondo | Mji wa Babati | |
| Abubakar Abdullah Kuuli | Wilaya ya Mbulu |
12. MKOA WA MARA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Emmanuel John Mkonongo | Mji wa Bunda | |
| Francis Emmanuel Namaumbo | Wilaya ya Rorya | |
| Palela Msongela Nitu | Wilaya ya Musoma | |
| Gimbana Emmanuel Ntavyo | Mji wa Tarime | |
| Bosco Addo Ndunguru | Manispaa ya Musoma | |
| Patricia Robbi John | Wilaya ya Butiama | |
| Solomon Isack Shati | Wilaya ya Tarime | |
| Changwa Mohammed Mkwazu | Wilaya ya Bunda | |
| Kivuma Hamis Msangi | Wilaya ya Serengeti |
13. MKOA WA MBEYA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Stephe Edward Katemba | Wilaya ya Mbeya | |
| Amede Elias Andrea Ngwadidako | Jiji la Mbeya | |
| Ezekiel Henrick Magehema | Wilaya ya Kyela | |
| Missana Kalela Kwangura | Wilaya ya Mbarali | |
| Tamim Hamad Kambona | Wilaya ya Chunya | |
| Loema Peter Isaaya | Wilaya ya Busokelo | |
| Renatus Blas Mchau | Wilaya ya Rungwe |
14. MKOA WA MOROGORO:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Saida Adamjee Mahungu | Wilaya ya Ulanga | |
| Eng. Stephen Mbulili Kaliwa | Wilaya ya Mlimba | |
| Lena Martin Nkaya | Mji wa Ifakara | |
| Hassan Njama Hassan | Wilaya ya Mvomero | |
| Kisena Magina Mabuba | Wilaya ya Kilosa | |
| Rehema Said Bwasi | Wilaya ya Morogoro | |
| Asajile Lucas Mwambambale | Wilaya ya Gairo | |
| Joanfaith John Kataraia | Wilaya ya Malinyi | |
| Ally Hamu Machela | Manispaa ya Morogoro |
15. MKOA WA MTWARA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Col. Emanuel Harry Mwaigobeko | Manispaa ya Mtwara | |
| Thomas Edwin Mwailafu | Mji wa Nanyamba | |
| Erica Evarist Yegella | Wilaya ya Mtwara | |
| Duncan Golden Thebas | Wilaya ya Newala | |
| Apoo Castro Tindwa | Wilaya ya Masasi | |
| Elias Runeye Mtiruhungwa | Mji wa Masasi | |
| Shamim Daud Mwariko | Mji wa Newala | |
| Ibrahim John Mwanauta | Wilaya ya Nanyamba | |
| Mussa Lawrance Gama | Wilaya ya Tandahimba |
16. MKOA WA MWANZA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Modest Joseph Apolinary | Manispaa ya Ilemela | |
| Lutengano George Mwaliba | Wilaya ya Misungwi | |
| Emmanuel Luponya Sherembi | Wilaya ya Ukerewe | |
| Fidelica Gabriel Myovela | Wilaya ya Magu | |
| Selemani Yahya Sekiete | Jiji la Mwanza | |
| Binuru Mussa Shekidele | Wilaya ya Sengerema | |
| Paulo Sosteness Malaga | Wilaya ya Buchosa | |
| Happiness Joachim Msanga | Wilaya ya Kwimba |
17. MKOA WA NJOMBE:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Dollar Rajab Kusenge | Mji wa Njombe | |
| Sunday Deogratius Ndori | Wilaya ya Ludewa | |
| William Mathew Makufwe | Wilaya ya Makete | |
| Keneth Haule Keneth | Mji wa Makambako | |
| Maryam Ahmed Muhaji | Wilaya ya Wanging’ombe | |
| Sharifa Yusuph Nabarang’anya | Wilaya ya Njombe |
18. MKOA WA PWANI:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Mshamu Ally Munde | Mji wa Kibaha | |
| Kuruthum Amour Sadik | Wilaya ya Chalinze | |
| Hanan Mohamed Bafagih | Wilaya ya Kisarawe | |
| Mwantum Hamis Mgonja | Wilaya ya Mkuranga | |
| Butamo Nuru Ndalahwa | Wilaya ya Kibaha | |
| Shauri Selenda | Wilaya ya Bagamoyo | |
| Mohamed Issa Mavura | Wilaya ya Kibiti | |
| ` | Kassim Seif Ndumbo | Wilaya ya Mafia |
| John Lipesi Kayombo | Wilaya ya Rufiji |
19. MKOA WA RUKWA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Jacob James Mtalitinya | Manispaa ya Sumbawanga | |
| William Anyitike Mwakalambile | Wilaya ya Nkasi | |
| Shafii Kassim Mpenda | Wilaya ya Kalambo | |
| Lightness Stanley Msemo | Wilaya ya Sumbawanga |
20. MKOA WA RUVUMA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Fredrick Damas Sagamiko | Manispaa ya Songea | |
| Neema Michael Maghembe | Wilaya ya Songea | |
| Sajidu Idrisa Mohamed | Wilaya ya Madaba | |
| Chiriku Hamis Chilumba | Wilaya ya Namtumbo | |
| Jimson Mhagama | Wilaya ya Nyasa | |
| Chiza Cyprian Marando | Wilaya ya Tunduru | |
| Grace Stephen Quintine | Mji wa Mbinga | |
| Juma Haji Juma | Wilaya ya Mbinga |
21. MKOA WA SHINYANGA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Nice Remen Munissy | Wilaya ya Shinyanga | |
| Anderson David Msumba | Mji wa Kahama | |
| Charles Edward Fussi | Wilaya ya Msalala | |
| Lino Pius Mwageni | Wilaya ya Ushetu | |
| Emmanuel Johson Matinyi | Wilaya ya Kishapu | |
| Jomary Mkristo Satura | Manispaa ya Shinyanga |
22. MKOA WA SIMIYU:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Simon Sales Berege | Wilaya ya Maswa | |
| Adrian Jovin Jungu | Mji wa Bariadi | |
| Elizabeth Mathias Gumbo | Wilaya ya Itilima | |
| Halid Muharami Mbwana | Wilaya ya Bariadi | |
| Veronica Vicent Sayore | Wilaya ya Busega | |
| Msoleni Juma Dakawa | Wilaya ya Meatu |
23. MKOA WA SINGIDA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Estehr Annania Chaula | Wilaya ya Singida | |
| Michael Augustino Matomora | Wilaya ya Iramba | |
| Justine Lawrence Kijazi | Wilaya ya Ikungi | |
| Melkizedek Oscar Humbe | Wilaya ya Manyoni | |
| John Kulwa Mgagulwa | Wilaya ya Itigi | |
| Zefrin Kimolo Lubuva | Manispaa ya Singida | |
| Asia Juma Mosses | Wilaya ya Mkalama |
24. MKOA WA SONGWE:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Cecilia Donath Kavishe | Wilaya ya Songwe | |
| Philimoni Mwita Magesa | Mji wa Tunduma | |
| Regina Lazaro Beida | Wilaya ya Momba | |
| Abadallah Hamis Nandonde | Wilaya ya Mbozi | |
| Geofrey Moses Nnauye | Wilaya ya Ileje |
25. MKOA WA TABORA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Shomary Salim Mndolwa | Mji wa Nzega | |
| Kiomoni Kiburwa Kibamba | Wilaya ya Nzega | |
| Baraka Michael Zikatimu | Wilaya ya Urambo | |
| Dkt. Peter Maiga Nyanja | Manispaa ya Tabora | |
| Hemed Saidi Magaro | Wilaya ya Uyui | |
| Jerry Daimon Mwaga | Wilaya ya Kaliua | |
| Selemani Mohamed Pandawe | Wilaya ya Sikonge | |
| Fatuma Omary Latu | Wilaya ya Igunga |
26. MKOA WA TANGA:
| NA | JINA KAMILI | HALMASHAURI |
| Gracia Max Makota | Wilaya ya Kilindi | |
| Ikupa Harrison Mwasyoge | Wilaya ya Lushoto | |
| George Daniel Haule | Wilaya ya Bumbuli | |
| Nasib Bakari Mmbaga | Wilaya ya Muheza | |
| Isaya Mugishangwe Mbenje | Wilaya ya Pangani | |
| Zahara Abdul Msangi | Wilaya ya Mkinga | |
| Saitoti Zelote Stephen | Wilaya ya Handeni | |
| Nicodemus John Bei | Mji wa Korogwe | |
| Mariamu Ukwaju Masebu | Mji wa Handeni | |
| Spora Jonathan Liana | Jiji la Tanga | |
| Halfan Hashim Magani | Wilaya ya Korogwe |
Imetolewa na
Jaffar Haniu
Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu

More Stories
Bilioni 7 kuwainua vijana 308 sekta ya uvuvi
Clara:Miaka 50 ya Sabasaba fursa mpya za Biashara na Uwekezaji
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni