Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mkuu wa Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere Prof. Haruni Mapesa leo ametembelea eneo la mradi wa ujenzi wa Kafteria katika chuo cha kumbukumbu ya mwalimu Nyerere kampasi ya Karume Zanzibar ili kujionea nanna shughuli za ujenzi zinavyoendelea
Katika ziara hiyo ya kiutendaji, Prof. Mapesa pia amepokea ripoti ya ujenzi wa kafteria hiyo kutoka kwa kamati ya ujenzi.
Aidha pamoja na ukaguzi huo alipata fursa ya kuhudhuria kikao cha maandalizi ya mahafali ya 10 ya kampasi ya karume yanayotarajiwa kufanyika hivi karibuni.




More Stories
Dkt.Tulia,Mwalunenge waungana kutatua changamoto ya barabara
TUCASA yaomba kuanzishwa sheria malipo sekta ya ujenzi
Kihongosi:Uhai wa chama mashina