Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
Mbunge ahoji ukamilishwaji miundombinu Vituo vya afya
Mbogo aomba Tume kuchunguza madai ya waliokuwa wafanyakazi wa EAC
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji