Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Profesa Kitila Mkumbo, akiwa amelakiwa na vijana wanaofanya kazi kwenye gereji na bodaboda katika eneo la Manzese, Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa kampeni za kuwania nafasi hiyo. Picha na Mpiga Picha Wetu
More Stories
NMB yafuturisha viongozi ALAT,wananchi
PPRA yawanoa Wakaguzi wa Ndani matumizi Mfumo wa NeST
Wananchi waaswa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura