Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline,Dar WITO umetolewa kwa Wananchi kuzingatia matumizi sahihi ya Alama za Taifa ikiwemo Ngao ama Nembo ya Taifa,...
Na Heri Shaaban, Timesmajira Online,Dar MBUNGE wa Viti Maalum Wanawake Mkoa Dar es Salaam, Janeth Masaburi, amefanya ziara mkoani humo...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma SERIKALI imekiwezesha Chuo cha Taifa cha Usafirishaji(NIT) kukamilisha maandalizi ya utoaji wa mafunzo ya Urubani ambapo Chuo...
Na Heri Shaaban, Timesmajira Online,Ilala MKUU wa Wilaya ya Ilala Edward Mpogolo Machi 20,2025, ameshiriki zoezi la kujiandikisha katika maboresho...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma BENKI ya Maendeleo(TIB)imesema imewekeza zaidi ya Shilingi bilioni 630.3 katika miradi ya maendeleo hadi kufikia Desemba 2024....
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online BENKI ya Exim Tanzania, kwa kushirikiana na Mastercard, wamezindua rasmi Kampeni ya UEFA Priceless, mpango...
Na Heri Shaaban, Timesmajira Online,Ilala Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo amepiga marufuku shughuli zote za kilimo katika bonde...
Na Mwandishi wetu, Timesmajira WAZIRI Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda leo ametembelea Banda la Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere katika...
Na Cresensia Kapinga, Timesmajiraonline, Songea ZAIDI ya wateja 380,000 wakiwemo watumishi wa Serikali,wafanyabiashara, wanafunzi na wajasiriamali wamejiunga na huduma ya...
Na Daud Magesa, Timesmajira Online, Mwanza BARAZA Kuu la Waislamu (BAKWATA) Mkoa wa Mwanza,limekusanya zaidi ya sh.milioni 40.4, katika kilele...