Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Othman Masoud Othman, leo Januari 06, 2025 amekabidhiwa Jezi ya Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Zanzibar (Zanzibar Heroes).


Mheshimiwa Othman ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa ACT- Wazalendo amekabidhiwa Jezi hiyo, kutoka kwa Naibu Waziri Kivuli wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, wa Chama hicho, Ndugu Humoud Ahmed Said, hapo Ofisini kwa Makamu wa Kwanza wa Rais, Migombani Mkoa wa Mjini-Magharibi, Unguja.


More Stories
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8
Pre-Betika Tulia Marathon kuhamasisha mazoezi kwa jamii
Serikali yaongeza nguvu kwa wachimbaji wadogo,yasisitiza usalama Migodini