Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Othman Masoud Othman, leo Januari 06, 2025 amekabidhiwa Jezi ya Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Zanzibar (Zanzibar Heroes).


Mheshimiwa Othman ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taifa wa ACT- Wazalendo amekabidhiwa Jezi hiyo, kutoka kwa Naibu Waziri Kivuli wa Habari Utamaduni, Sanaa na Michezo, wa Chama hicho, Ndugu Humoud Ahmed Said, hapo Ofisini kwa Makamu wa Kwanza wa Rais, Migombani Mkoa wa Mjini-Magharibi, Unguja.

More Stories
Mume adaiwa kuua mke kikatili
Mhandisi Mramba:Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye gridi ya Taifa ifikapo 2030
Watumishi wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali watakiwa kuendelea kuzingatia maadili ya utumishi wa umma