Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ametoa orodha ya nyimbo zake pendwa ambapo wimbo ‘Smile’ wa wizkidayo kutoka Nigeria ni miongoni mwa nyimbo hizo 53. Nyimbo nyingine ni za Beyonce, Rihanna, Nas, J. Cole, Nina Simone na Frank Ocean.
Bwana Obama amesema kuwa baadhi ya nyimbo hizo zitachezwa wakati wakongamano la kitaifa la chama chaDemocratic cha wiki hii ambalo lilifunguliwa jana usiku.
More Stories
Jafo aipongeza iTrust Finance kudhamini Soko la Jiba Souk
Viongozi CHADEMA, Odinga wakutana, wajadili hali ya kisiasa nchini
Utafiti na Teknolojia matibabu ya magonjwa adimu wasisitizwa