October 5, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

President Barack Obama is photographed during a presidential portrait sitting for an official photo in the Oval Office, Dec. 6, 2012. (Official White House Photo by Pete Souza)

Obama atoa orodha ya nyimbo anazozisikiliza 2020

Rais Mstaafu wa Marekani, Barack Obama ametoa orodha ya nyimbo zake pendwa ambapo wimbo ‘Smile’ wa wizkidayo kutoka Nigeria ni miongoni mwa nyimbo hizo 53. Nyimbo nyingine ni za Beyonce, Rihanna, Nas, J. Cole, Nina Simone na Frank Ocean.

Bwana Obama amesema kuwa baadhi ya nyimbo hizo zitachezwa wakati wakongamano la kitaifa la chama chaDemocratic cha wiki hii ambalo lilifunguliwa jana usiku.

Image
Image