Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulishiriki katika Maonesho ya Utalii Karibu Kusini yaliyofanyika katika viwanja vya Kihesa Kilolo mkoani Iringa.
Maonesho hayo yalifungwa na Mgeni Rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud.

NSSF ilitumia maonesho haya kwa ajili ya kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa sekta binafsi na sekta isiyo rasmi,kuandikisha wanachama, kusikiliza na kutatua kero za wanachama.


More Stories
Diwani awapa bima za afya watoto wa mahitaji maalum
Rais Mwinyi:Tuzindue mpango wa ujuzi kwa vijana katika uchumi wa buluu
Dkt.Mpango ashiriki dua,kumbukizi miaka 53 ya Hayati Karume