Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) ulishiriki katika Maonesho ya Utalii Karibu Kusini yaliyofanyika katika viwanja vya Kihesa Kilolo mkoani Iringa.
Maonesho hayo yalifungwa na Mgeni Rasmi, Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud.

NSSF ilitumia maonesho haya kwa ajili ya kutoa elimu ya hifadhi ya jamii kwa sekta binafsi na sekta isiyo rasmi,kuandikisha wanachama, kusikiliza na kutatua kero za wanachama.


More Stories
TAKUKURU Gairo waja na kliniki tembezi kutoa elimu ya kupambana na Rushwa
Said :Miundombinu ya maji mkunduge mambo safi
Wadau wakutana kwa tathimini maendeleo ya Elimu