Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online

NIC Insurance imedhamini na kushiriki Mbio za Korosho Marathon ili kuchangia kufanikisha upatikanaji wa fedha ambazo zitaenda kununulia mashine za kubangulia korosho kwa wabanguaji wadogo ikiwa ni sehemu ya sera ya NIC kurudisha katika jamii ambapo katika mbio hizo.

Mgeni Rasmi alikua Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack.
More Stories
Mpina,Maganga kuendelea kuwafichua viongozi mafisadi na wabadhilifu
Wakazi Mahomanyika wamlilia Rais Samia kuingilia kati mgogoro wa ardhi
Dar kufanya kongamano maalum kuelekea maadhimisho ya siku ya Mwanamke Dunia