Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online

NIC Insurance imedhamini na kushiriki Mbio za Korosho Marathon ili kuchangia kufanikisha upatikanaji wa fedha ambazo zitaenda kununulia mashine za kubangulia korosho kwa wabanguaji wadogo ikiwa ni sehemu ya sera ya NIC kurudisha katika jamii ambapo katika mbio hizo.

Mgeni Rasmi alikua Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mhe. Zainab Telack.
More Stories
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni
Prof.Muhongo amshukuru Rais Samia kwa fedha nyingi miradi ya elimu Musoma Vijijini
Rc Chalamila aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Charles Hilary