Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online
HALMASHAURI kuu ya CCM Taifa ( NEC) imefanya uchaguzi wa wajumbe wanne ambao ni Namelock Edward, Dkt. Juma Abdallah, Salim Faraj Abri ( Asas) na Hamad Chande.
Uchaguzi huo umefanyika leo Mei 28, 2025 kwenye kikao maalumu cha NEC kilichofanyika Jijini Dodoma.
More Stories
Prof.Mbede:Nishati ya umeme wa Sola imepunguza vifo vya wajawazito
Rais Samia apongezwa kuanzisha bima ya afya kwa wote
Serikali yajipanga kudhibiti matumizi yasiyo sahihi kuelekea uchaguzi mkuu