Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Ridhiwani Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Maafisa Ardhi na kuwakumbusha kutimiza wajibu katika utendaji kazi

“Baada ya ufungaji wa Mafunzo ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makazi yaliyofanyika Chuo Cha Mkwawa, Iringa nilipata nafasi kuzungumza na Maafisa Ardhi wa Mkoa wa Iringa na Manispaa ya Iringa. Lengo ni kujadili hali ya Kazi na kukumbushana Wajibu wa kila mmoja katika Utendaji.” Amesema Mhe. Ridhiwani
More Stories
Mkurugenzi Rapha Group aeleza fursa mashindano Tulia Marathoni
Prof.Muhongo amshukuru Raia Samia kwa fedha nyingi miradi ya elimu Musoma Vijijini
Rc Chalamila aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Charles Hilary