Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Ridhiwani Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Maafisa Ardhi na kuwakumbusha kutimiza wajibu katika utendaji kazi

“Baada ya ufungaji wa Mafunzo ya Wakufunzi wa Sensa ya Watu na Makazi yaliyofanyika Chuo Cha Mkwawa, Iringa nilipata nafasi kuzungumza na Maafisa Ardhi wa Mkoa wa Iringa na Manispaa ya Iringa. Lengo ni kujadili hali ya Kazi na kukumbushana Wajibu wa kila mmoja katika Utendaji.” Amesema Mhe. Ridhiwani
More Stories
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kumuua mama yake mzazi