PICHA ZOTE NA MPIGAPICHA WETU
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Jumanne Sagini, leo Februari 25, 2024 amewatembelea na kuwajulia hali majeruhi wa ajali katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Arusha Mount Meru Arusha ambapo iliyohusisha Lori na magari mengine matatu na kupelekea vifo 25 na majeruhi 21.




Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhe. Jumanne Sagini, leo Februari 25, 2024 amefika eneo la ajali iliyohusisha lori na magari mengine matatu katika eneo la by PASS Ngaramtoni Jijini Arusha nakupelekea vifo ishirini na tano 25.








More Stories
ZOLA yajipanga kupeleka Nishati Safi kwa Watanzania, yaunga Mkono Juhudi za Rais Samia
Kiongozi wa Mwenge awataka RUWASA kukamilisha mradi wa maji kwa wakati Kilindi
Balozi Nchimbi aongoza waombolezaji kumuaga Mzee Mongella