

Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online.
NDEGE iliyobeba mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (Mstaafu), Hayati Cleopa Msuya, ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) majira muda huu.
Hayati Msuya aleiyefariki Mei 7, 2025 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam, ataagwa leo na wananchi wa Mwanga, ambapo baada ya kumalizika kwa shughuli za kuagwa, mwili utapelekea nyumbani kwake Usangi kwa ajili ya mazishi kesho Mei 13, 2025.
More Stories
CCM kusimamia kitabu cha Hayati Songambele kiingie mtaani
Mwendokasi kuendeshwa na ENG kwa miaka 12
Vitongoji 284 Arumeru Mashariki vyafikiwa na umeme