

Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online.
NDEGE iliyobeba mwili wa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais (Mstaafu), Hayati Cleopa Msuya, ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) majira muda huu.
Hayati Msuya aleiyefariki Mei 7, 2025 katika Hospitali ya Mzena Jijini Dar es Salaam, ataagwa leo na wananchi wa Mwanga, ambapo baada ya kumalizika kwa shughuli za kuagwa, mwili utapelekea nyumbani kwake Usangi kwa ajili ya mazishi kesho Mei 13, 2025.
More Stories
Waliopata ufaulu wa juu kidato Cha sita mchepuo wa sayansi kupata ufadhili
Maelfu wajitokeza kuaga mwili wa Hayati Cleopa Msuya
Kapinga:Serikali inaboresha miundombinu ya umeme kibiti kuondoa changamoto ya umeme