Na Esther Macha, TimesMajira Online, Mbeya
ALIYEKUWA Diwani Kata ya Chimala na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbarali, Francis Mtega amepita kwenye kura za maoni kwa kishindo .
Mtega ameibuka mshindi kwa kupata Kura 166 huku mgombea wa pili akiwa ni Charles Komba aliyepata kura 22, Peter Nselu 08 pamoja na Ibrahim Ngailo aliyeambulia kura 05.
Katika mchakato huo wa kura za maoni kulikuwa watia nia 04 na wapiga kura 201 .
More Stories
Mbunge ahoji ukamilishwaji miundombinu Vituo vya afya
Mbogo aomba Tume kuchunguza madai ya waliokuwa wafanyakazi wa EAC
Dkt.Mabula aomba mabonde Ilemela yatumike kwa Kilimo cha umwagiliaji