Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari tarehe 11 Mei, 2025 ameungana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi kushiriki kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati, Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa Hayati Msuya.




More Stories
Serikali yaagiza usalama migodini Lindi
Awamu ya kwanza ya uvutaji wa nyaya katika Mradi wa Chalinze -Dodoma wakamilika
EWURA yatangaza bei ya mafuta