Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari tarehe 11 Mei, 2025 ameungana na Viongozi mbalimbali wa Serikali na Wananchi kushiriki kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati, Cleopa David Msuya katika Viwanja vya Karimjee, Jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewaongoza waombolezaji kuaga na kutoa heshima za mwisho kwa Hayati Msuya.




More Stories
Ndoto zilizovunjika: Jinsi Mimba za utotoni zinavyowakatisha Wasichana elimu nchini Rwanda,Tanzania na Sudan Kusini
Miaka 50 ya Sabasaba Vodacom yadhihirisha kuchochea mageuzi ya kidigital nchini
Milioni 750 kukamilisha kituo cha afya