Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Arusha
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mwandishi Mwandamizi wa gazeti la Majira Pamela Mollel amechukua fomu ya kuwania kiti hicho.
Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa fomu na Katibu wa Wilaya CCM Arusha, Denis Mwita katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Pamela amesema lengo kuu ni kushirikiana na wananchi wa Arusha kuleta maendeleo.
Pamela Mollel amesema atahakikisha anaisimamia ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika utekelezaji.

More Stories
Wananchi waaswa kujitokeza kwa wingi kujiandikisha Daftari la Mpiga Kura
Fedha za Mfuko wa Jimbo ziingizwe kwenye mfumo wa NeST
Jukwaa la usafiri Mtandaoni linavyotoa punguzo kwa abiria