Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Arusha
MGOMBEA Ubunge Jimbo la Arusha Mjini, Mwandishi Mwandamizi wa gazeti la Majira Pamela Mollel amechukua fomu ya kuwania kiti hicho.
Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa fomu na Katibu wa Wilaya CCM Arusha, Denis Mwita katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Pamela amesema lengo kuu ni kushirikiana na wananchi wa Arusha kuleta maendeleo.
Pamela Mollel amesema atahakikisha anaisimamia ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika utekelezaji.
More Stories
Wanachi wahimizwa kusajili biashara,majina ya kampuni BRELA
Manispaa ya Shinyanga yaandikisha wanafunzi wa darasa la kwanza kwa 99%
Wananchi wapongeza huduma ya kliniki ya Sheria bila malipo