March 7, 2026

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mndolwa awajulia hali Waandishi wa habari waliopata ajali Iringa

Na Mwandishi wetu,Timesmajira

MKURUGENZI Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji nchini (NIRC), Raymond Mndolwa (mwenye suti nyeusi) akiwa Mkuu wa Kitengo Cha Habari na Mawasiliano (NIRC), Mariam Mziwanda pamoja na waandishi wa habari katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Iringa kuwaona na kuwapa pole wanahabari waliopata ajali jana wakitokea kazini Idodi katika Maadhimisho ya Miaka 49 ya Chama Cha Mapinduz (CCM)