Mkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt.Wilson Mahera Charles (kulia)akionesha kwa waandishi wa habari jarida la maandalizi ya uchaguzi mkuu 2020 katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma leo Oktoba 25,2020, wakati akifafanua kuhusu madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini ambayo yamekua yakitolewa na vyama vya siasa na wagombea wao. Pamoja nae ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari na Elimu ya Mpigakura, Dkt.Cosmas Mwaisobwa. Picha na Mroki Mroki-NECMkurugenzi wa Uchaguzi wa Tume ya Taifa yua Uchaguzi, Dkt.Wilson Mahera Charles (kulia)akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi za Tume, Njedengwa jijini Dodoma leo Oktoba 25,2020, kuhusiana na madai ya uwepo wa vituo na wapiga kura hewa katika maeneo mbalimbali nchini ambayo yamekua yakitolewa na vyama vya siasa na wagombea wao
More Stories
Kamati ya kudumu ya Bunge ya utawala,katiba na sheria yaridhishwa ujenzi soko Kariakoo
TRA Tanga yakusanya bil.178.3 kwa miezi sita
Wataalam Sekta ya utalii watakiwa kufanya kazi kwa uadilifu,kujituma na kuwa wabunifu