Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Mwenyekiti wa Shina la JPM lililopo kata ya Kariakoo na Mjumbe wa Baraza kwenye Jumuiya ya Wazazi Kata ya Kariakoo,Rashid Kilua amechukua na kurudisha Fomu ya Ubunge Jimbo la Bumbuli wilaya ya Lushoto Mkoani Tanga.
Kilua ni mjasiriamali wa Kariakoo na mdau wa Maendeleo kwenye mambo ya kijamii.




More Stories
Kampuni za Algeria zatafuta wabia wa biashara na uwekezaji nchini
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu, yasogeza huduma kwa wananchi
Mil.214 zawanasua na mikopo ‘Kausha damu’ Ileje