Sehemu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliokusanyika katika Viwanja vya Gymkhana kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Septemba, 2020 Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kwa wananchi wa mkoa wa Kagera mara baada ya kuwasili katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera leo. Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya Wananchi wa mkoa wa Kagera katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera leo. Mgombea urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi ()CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi wa Mkoa wa Kagera mara baada ya kuwasili katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera leo tarehe 16 Septemba, 2020 Sehemu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliokusanyika katika Viwanja vya Gymkhana kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Septemba, 2020 Post Views: 1,603 Continue Reading Previous Polisi yawashikilia Sungusungu waliochoma vibanda vya wavuvi, wakulimaNext KUTOKA MAGAZETINI SEPTEMBA 17, 2020 More Stories 4 min read Habari Dkt. Biteko awasha moto Tanesco March 28, 2024 Iddy Lugendo 3 min read Habari UCRT kuwezesha vijiji 14 kuingia kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi March 28, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari Jeshi la Polisi latoa Tahadhari March 28, 2024 Iddy Lugendo
More Stories
Dkt. Biteko awasha moto Tanesco
UCRT kuwezesha vijiji 14 kuingia kwenye mpango wa matumizi bora ya ardhi
Jeshi la Polisi latoa Tahadhari