Sehemu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliokusanyika katika Viwanja vya Gymkhana kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Septemba, 2020
Sehemu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliokusanyika katika Viwanja vya Gymkhana kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Septemba, 2020Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipunga mkono kwa wananchi wa mkoa wa Kagera mara baada ya kuwasili katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera leo.Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia maelfu ya Wananchi wa mkoa wa Kagera katika mkutano wa Kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera leo.Mgombea urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi ()CCM Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimia wananchi wa Mkoa wa Kagera mara baada ya kuwasili katika mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika katika viwanja vya Gymkhana Bukoba mkoani Kagera leo tarehe 16 Septemba, 2020Sehemu ya wananchi wa Mkoa wa Kagera waliokusanyika katika Viwanja vya Gymkhana kumsikiliza Mgombea Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 16 Septemba, 2020
More Stories
Wanaodaiwa kufukua kaburi na kuondoka na mwili wa marehemu watafutwa
Kituo cha afya Kisiwa cha Rukuba chafungiwa umeme jua kurahisisha huduma
Kapinga:Wakandarasi wasimamiwe kutekeleza miradi ya nishati kwa wakati